Search This Blog

HOT SEXY KILLER

 



HOT SEXY KILLER 
By Deogratius Giftkipapa

MWANZO WA STORI:
Upepo ulivuma kutoka upande wa baharini ukija nchi kavu, kwenye kingo ya mwamba uliokuwa unapigwa na wimbi la maji ya bahari ndipo ulipojengwa msingi wa hoteli ya kifahari Shine and rise beach resort.
Ilikuwa ni hoteli yenye madhari ya kuvutia mno, bustani za maua ya kuoteshwa kwenye vyungu vyenye nakshi nakshi ilikuwa inapendezesha eneo lote na miti ya minazi yani fukwe yote ilikuwa imebadilishwa kama vile bustani ya edeni eneo la katikati kwenye mnazi ule mkubwa watu walikuwa wamezungusha duara wakicheza ngoma ya mdundo wa asili ya kizazi kipya cha bongo maarufu kama singeli.
‘marejesho na vikoba vyote umefeli wewe, makoti Madera na vijora vyote unadaiwa wewe, sa mbona unalinga, unalinga una nini weweee, unalinga unalinga una nini mamaaa’
Ilisikika sauti hiyo ya muimbisha singeli ikifuatiwa na mdundo wa ngoma tamu ya asili, lilikuwa sebene moja la kufa mtu, watoto wa kike hapo walikuwa wanajiachia kinoma, mmoja na dera lake pana pana hivi lakini mterezo wake ulikuwa kama wa kipande cha khanga kiunoni alikuwa amejifunga matandio mweupe na kulifanya umbo lake la vile kiuno chake kilivyo kuwa kimeingia ndani na kujichora mbonyeo wa namba nane.
Nyuma alikuwa na matako zigo kama la wakata nyonga wa Rashida Wanjara, alikuwa anayatikisa hivi matako kwa kuyapishanisha hivi kila miguu yake ilivyokuwa inapiga hatua kuzunguka na duara, mgongo wake alikuwa ameuinamisha hivi na mikono yake alikuwa anaitikisa hivi chini kwa chini.
Staili yake ya kubana nywele a na hereni zake ndogo ndogo zilizokuwa zinaning’inia kwenye masikio yake vilifanya muonekano wake uwe ni wa kuvutia kinoma, kutia ndani staili yake ya kucheza vile alivyokuwa ameinama mgongo wake na kuyabenua matako ni kama vile alikuwa anameutegeshea hivi mkundu wake usuguliwe na mboo.
Kwa bahati mbaya mtu aliyefuata nyuma yake wala hata hakuwa mwanaume, bali jimama. Shangingi hilo nalo lilikuwa na matako hayo usiombe, mapaja yake yalitikisika ndani ya dera lake lenye kitambaa laini cha kushika basi kilishikana na matako yake yalijichora yani vile yalivyokuwa yamejigawa katikati mtikisiko wake kila tako ‘jege jege.’
Nyuma yake kulikuwa na wasichana wengine kama wanne wao walikuwa wameshonana kwa kushikana viuno hivi kila mmoja ameshika kiuno cha mwenzake alafu wote waliinama kwa kupinda migongo, miguu yao ilikuwa inapiga hatua kwa stepu moja, matako walikuwa wanayatikisa kwa kuyapishanisha hvi vile walivyokuwa wamepangana kama mabehewa ya treni watoto wa kike walikuwa walikuwa wanavutia kinoma.
Japokuwa shepu zao zilitofautiana kidogo, huyu mwembamba, mwingine mnene wa wastani na mwingine bonge nyanya kabisa na matiti yake yalikuwa yamejaa hatari, sio siri walikuwa wanavutia kimapenzi asikwambie mtu, na vile ambavyo mavazi yao yalikuwa ni ya nusu uchi basi ndio utamu ulikuwa unazidi kukolea, ukiona paja linakuwa paja kweli.
Muziki ulizidi kupagawisha watoto wa kike, wanaume nao waliokuwa wamebahatika kubambia walikuwa wameshikilia viuno vya watoto wa kike huku wakigongesha mapaja yao kwenye matako yalikuwa yanatikisika tikisika hivi kwa vile warembo walivyokuwa wanazungusha viuno vyao kufuata mdundo wa sebene lililokuwa na amsha amsha za klila aina.
“ooohhhh, ooohhhh, tamu sana, aaasiii, aaaaahhhh.”
Alilalama mrembo mmoja aliyekuwa amenyanyua hivi mguu wake mmoja na kuweka juu ya kijitofali kilichokuwa kimejengelewa juu ya tofali lingine kuzuguka mti wa mnazi kwa umbo la duara na kuacha kijinjia cha watu kupita wakitaka kuingia kwenye duara hilo. Chini yake kuna mwanaume alikuwa amekaa, kichwa chake alikinyanyua hivi juu akiutikisa tikisa hivi ulimi wake kukiramba kisimi cha mrembo huyo.
Macho yake alikuwa ameyafumba kwa hisia, mkono wake mmoja ukiwa umeshikilia hivi paja la mrembo huyo, alilipapasa papasa kwa hisia fulani akikazana kukinyonya kisimi cha mrembo huyo kwa uchu kinoma.
Vile ambavyo mwanaume huyo alikuwa anamhangaikia mrembo huyo ni kama vile kuinyonya kuma yake ilikuwa ni ndoto yake ya maisha.

0 comments:

Post a Comment

Blog