Search This Blog

NA LEO NATAKA TENA

 



NA LEO NATAKA TENA 
By Deogratius Giftkipapa


MWANZO WA STORI:
Kilikuwa kichochoro chembamba huku nyumba na kule nyumba katikati mfereji wa maji machafu yaliyochanganyikana na tope zito lililooza rangi yake ilikuwa imekolea kwa weusi fulani kama wa samadi na lilikuwa linanuka hatari, lakini watu walikuwa wanapita kwenye kichochoro hicho hivyo hivyo wakikanyaga kwenye matofali yaliyojengelewa pembeni ya mfereji huo.
Kupishana walipishana kwa tabu kila mmoja ilikuwa lazima abonyee hivi na kujishikilia kwenye ukuta wa nyumba ya upande mmoja hadi mwenzake apite ndipo aliendelea kutembea kwa kawaida ya kukanyaga tofali la upande huu na ule hadi mwisho wa kichochoro hicho ndipo unapoibukia kwenye ngazi ngazi za kushuka hadi kwenye barabara ya mtaa.
Ulikuwa mtaa uliochangamka fremu za maduka ya mahitaji tofauti tofauti zilipangana, hapa duka la vinywaji kwa jumla pale mitungi ya gesi na vocha za jumla, fremu nyingine kulikuwa na mahitaji madogo dogo ya nyumbani, sijui minbar, banda la mchoma chipsi kuku na mayai, duka la dawa baridi, duka la urembo na vipodozi.
Saluni ya kiume na ya kike, msusi anaye jitegemea nae alikuwa ametandika mkeka upande wa pili wa bara bara hiyo akiangaliana na lile duka linalouza rasta na kope za kubandika na urembo rembo mwingine, pembeni yake kulikuwa na mabenchi ya mkaka wa kusafisha na kupaka rangi kucha maarufu kama cha urembo. Watoto wa kike walikuwa wamejipanga kwa foleni kwenye mabenchi hayo kusubiri kusafichwa na kupakwa rangi kucha zao.
Alikuwa na mwamvuli aliousimamisha katikati ya kijiwe hicho kuwakinga warembo hao na jua lakini vumbi ndio lilikuwa halikwepeki, boda boda na magari vyote vilipita kwenye barabara hiyo kwa vurugu, japo barabara yenyewe haikuwa pana kiasi cha magari kupishana kwa uhuru lakini bado yalikuwa yanaenda kasi bila kujali. Ni kama madereva wote waliopita kwenye barabara hiyo walikuwa wamesomea chuo kimoja, wote walikuwa rafu si bodaboda wala magari.
“Tulia hivyo hivyo mrembo nakumalizia sasa hivi.”
Aliongea mkaka wa cha urembo macho yake aliyainua hivi kuiangalia sura ya mrembo aliyekuwa anampaka rangi kwenye vidole vya miguu. Alikuwa msichana mzuri sio siri, mbali na kuwa alijiremba na kurembeka haswa uzuri wa mrembo huyo ulikuwa unajionyesha wazi wazi.
Wanja, lipstick na poda aliyojipaka, japo vilifanya sura yake iongezeke mng’aro na ulaini fulani hivi kama binti malkia, lakini shepu ya mwili wake ndio ilikuwa inazidi kila kitu, umbo namba nane lilikuwa limejichora japokuwa alikuwa amekaa kwenye benchi.
Alikuwa amevaa kitopu fulani hivi kilichokuwa kimemtaiti mwili wake eneo la kifua lilikuwa wazi kidogo na kuyafanya matiti yake yaliyokuwa yamejaa jaa, hivi yaonekane vile yalivyokuwa yameiva kwa rangi ya weupe ule wa asili mtoto wa kike utampenda alafu chini alikuwa amevaa kimini sketi matirio yak e yalikuwa ni ya jinsi rangi ya jinsi hiyo ilivutia kinoma.
Tako lake zigo la maana ndani ya kimini hicho taiti lilijichora kinoma, kwa kuwa mguu wake mmoja alikuwa ameunyanyua hivi juu kwa ajili ya kupakwa rangi alikifanya kimini chake kipande juu kimtindo kitendo kilichoyafanya mapaja yake meupe peee yaliyokuwa yamejaa jaa hivi na kunona kisenge yaonekane hata kwa wapita njia walipopita kando kidogo ya kijiwe hicho wakipanda ngazi au kushuka kuelekea kwenye kichochoro cha kuingilia uswazi kile chenye mtaro mchafu.
Yule mkaka wa cha urembo akiwa ameshikilia ule mguu wa mrembo huyo kwa mkono mmoja wakati vidole vyake vya mkono mwingine vikiwa vimeshikilia brashi ya kupakia rangi kucha akichora umbo fulani kwenye kucha, ulikuwa mchoro wa kuvutia kinoma. Ni ajabu kile ambacho mkaka huyo alikuwa anaweza kufanya na vifaa vyake.
Lakini macho yake yalikuwa hayatulii sehemu moja, akiangalia vile anavyoendelea kwenye upakaji rangi, kuna muda alikuwa anayanyanyua hivi kuangalia katikati ya mapaja ya mrembo huyo na kile alichokiona ndicho kilicho kuwa kinamfanya apate mzuka wa kupaka rangi kucha za mrembo huyo kwa ufundi wa hali ya juu.
“Sawa mtaalam mie nimetulia, kazi kwako tu huko chini, mmmh.”
Aliongea mrembo huyo kwa sauti nyororo, akimuangalia mkaka wa cha urembo kwa macho ya kurembua.
Tayari alikuwa anajua kwamba mkaka wa cha urembo anatumia muda wote huo kuipaka kucha zake si kwa sababu ilikuwa kazi inayohitaji umakini na kila kitu, bali kwa sababu alitumia muda mwingine kuchungulia kuma yake, alikuwa hajavaa chupi kwa makusudi.

0 comments:

Post a Comment

Blog