Search This Blog

BABA AKE MARTHA ALIVYONITAFUNA KWENYE GARI

 


 


MWANDISHI : AISHA MAPEPE

BABA AKE MARTHA ALIVYONITAFUNA KWENYE GARI
(Wakubwa tu: 18+)


Naitwa Aisha. Nina umri wa miaka 25. Wengi hunisifia kuwa nimeumbika kwa umbo na sura. Hata kioo huwa kinaniambia hivyo. Wanaume wengi huvutiwa na mimi. Lakini nina udhaifu mmoja... Unaweza kuniita 'Aisha Mapepe' kama waniitavyo wengi.
http://pseudepigraphas.blogspot.com/
POKEA MCHAPO SASA

Martha ni rafiki yangu wa karibu sana. Ni shoga yangu wa shida na raha.Tulifahamiana tulipokutana chuoni Dar-es-salaam. Bahati nzuri wote ni wakazi wa Morogoro. Tunafanana kwa mwonekano pia. Ana shepu nzuri kama yangu. Ana sura ya kuvutia pia. Ila nahisi nimemzidi. Lakini pia nadhani hatufanani tabia. Na nashukuru sana licha ya ukaribu wetu wala hajui kuwa nina tabia za ajabu.

Kwenye hali ya kiuchumi tuna tofauti kubwa. Baba ake Martha ana uwezo kiasi fulani. Ni muajiriwa katika shirika fulani la hifadhi ya jamii. Nyumba wanayoishi mjini Morogoro ni kubwa na nzuri sana. Ukiingia ndani ya fensi utakuta gari zaidi ya moja zimepaki. Zote ni za baba ake Martha.

Kuna kipindi fulani tulikuwa tukimalizia likizo. Muda wa kurudi chuoni Dar-es-salaam kuanza mwaka mwingine wa masomo ulikuwa unakaribia. Bahati mbaya sikuwa na ada. Mama biashara zake hazikuwa zimemuendea vizuri. Hata dada angu hakuweza kunisaidia kwa wakati ule. Hakuwa vizuri kiuchumi.

Martha alipokuja kuniambia kuhusu habari ya maandalizi ya kurudi chuoni Dar sikumficha. Nilimwambia ukweli.

"Shoga yangu mwenzio mbaka sasa sina ada wala pesa ya chochote. Nikwambie tu ukweli. Nahisi nitaahirisha mwaka. Mama hana hela na anasema hana hata pa kukopa kwa sasa."

Nilimwambia Martha kinyonge usiku fulani wakati tunaongea kwenye simu.

"Oh pole Aisha. Ila mbona hukuniambia mapema tujaribu kutafuta sehemu ya kuazima?"
http://pseudepigraphas.blogspot.com/
Martha aliniuliza swali hilo ambalo sikuwa na jibu la maana la kumjibu. Kiukweli sikutaka kumpa mtihani na ndio maana sikuwa nimemuomba msaada wowote.

"Nilisahau kukushirikisha mapema Martha. Asante kwa kujali lakini."

Nikasema maneno hayo baada ya kukaa kimya kwa sekunde kadhaa.

"Sawa basi usijali Aisha. Ngoja nijaribu kumuomba baba atusaidie kama itawezekana. Ngoja niongee nae usiku huu huu."

"Sawa Martha."

Niliitikia. Tukaagana na Martha akakata simu.

Asubuhi yake Martha akanipigia na kunitaarifu kuwa amemwambia baba ake na amekubali kunilipia ada ya mwaka mzima. Akasema kuwa lakini baba ake alitaka anione kwanza azungumze na mimi. Maana sikuwa nimewahi hata kukutana nae. Mara chache nilizoenda kwa kina Martha niliweza kumuona mama ake na wadogo zake Martha tu.

Nilifurahi kupata nafasi ya kusaidiwa ada. Siku hiyo hiyo Martha akanitaarifu niende kwao kwani baba ake alikuwepo. Sikupoteza muda. Niliwahi haraka nilivyoweza. Nilifika kwa kina Martha mida ya saa tano asubuhi. Nilipokelewa na Martha na kukaribishwa sebuleni. Kulikuwa na mdogo wake Martha wa kiume, wa miaka 11 na mama yao. Nikasalimiana nao. Tukakaa tukiwa tunaangalia TV.

Punde baba ake Martha akaitwa na kuja sebuleni. Ni mbaba wa miaka 46. Mrefu na mnene kiasi. Alikuwa na nywele ndefu alizozichana vizuri. Nakumbuka alikuwa amevaa jezi ya Arsenal juu na pensi ya jinsi chini iliyokuwa na rangi nyeupe. Alifika sebuleni na kukaa kwenye kiti.

"Baba, huyu ndiye Aisha. Ni rafiki yangu wa karibu sana."

Martha alinitambulisha kwa baba ake huku akinichezea rimoti ya TV kwa kuigonga gonga kwenye viganja vyake.

"Oh karibu Aisha. Jisikie upo nyumbani"

"Asante baba. Shikamoo"

"Marahaba."

Baba ake Martha akaitikia huku akinitazama machoni. Nilijikaza na kumtazama pia huku nikitabasamu kwa aibu. Mama Martha akainuka na punde akamwita Fred, mwanae wa kiume. Nahisi alikuwa anajua kilichikuwa kinaendelea hivyo alitaka kunipa uhuru wa kuongea.

"Ok Martha ameniambia tatizo lako. Tutalimaliza na mtaenda wote chuoni. Utapata ada na pesa ya kukusaidia kuishi vizuri chuoni. Nilitaka uje tu ili nimfahamu mtu ninaemsaidia kwa kuwa hatukuwahi kuonana kabla."
http://pseudepigraphas.blogspot.com/
Baba ake Martha aliniambia maneno hayo baada ya kutulia kwa sekunde chache.

"Sawa nashukuru sana baba. Mungu akubariki sana."

"Usijali. Mungu akubariki na wewe pia. Ukasome lakini. Napenda wote mhitimu na alama za juu."

Baba Martha aliongea tena huku akiendelea kunitazama usoni muda wote. Mimi nilikuwa nikimtazama kidogo na kukwepesha macho. Nilikuwa na aibu.

"Sawa baba. Tutasoma kwa bidii"

Nikaongea huku nikijiweka vizuri kwenye kiti. Punde baba ake Martha akainuka na kuelekea chumbani huku akituagiza tumsubiri. Akatoka baada ya dakika chache akiwa ameshika kibunda kidogo cha pesa. Kibunda kile kilikuwa na noti za shilingi elfu kumi pekee.

"Hii hapa ni laki tano. Nilidhani nina pesa ya kutosha hapa ndani ili nikupatie pesa yote ya ada ukalipe kabisa benki lakini ipo hiyo tu hapa. Chukua hii halafu jioni au kesho mapema nikishaenda ATM nitakupatia nyingine. Kama nitaweza nitakuja nikuletee hata nyumbani baada ya kutoka benki. Ikishindikana utaifata hapa. Tutaangalia itakavyokuwa."

Baba Martha aliongea na kisha akanikabidhi pesa zile.

" Asante sana baba. Nakushukuru"

Nikazungumza kwa heshima wakati nikipokea pesa kwa mikono miwli na kwa utiifu wa kiwango cha juu. Nikaziweka kwenye pochi yangu na kuendelea na stori huku tukiangalia TV. Baada ya masaa kadhaa niliaga na kuondoka. Nilimshukuru sana Martha tukiwa njiani wakati ananisindikiza. Sikuwahi kuwa na rafiki anayejali kama yeye.

Usiku majira ya saa mbili simu yangu ikaita nikiwa chumbani. Namba ikikuwa ngeni. Nikapokea.

"Hello"

Nikazungumza

"Hello. Za jioni?"

Sauti ya upande wa pili ikanijibu. Ilifanana kabisa na sauti ya baba ake Martha. Nilihisi alikuwa yeye.

"Safi. Za huko?"

Niliitikia kwa heshima. Mara nyingi huwa sifanyi hivyo kwa namba ngeni lakini huyu nilihisi namfahamu na niliamini alistahili heshima zaidi ya hiyo.
http://pseudepigraphas.blogspot.com/
"Ni safi. Mimi baba ake Martha. Nipo na mzigo wako. Uko wapi? Naweza kuja nao muda huu. "
"Nipo nyumbani baba. Nitashukuru sana. Naweza hata kufata mwenyewe lakini"

Nilisema hivyo kwa kuwa nilikuwa najisikia vibaya nipatiwe msaada mkubwa kama ule na baba wa rafiki yangu halafu niletewe mbaka nyumbani.

"Hapana usijali. Nielekeze tu."

Nikamuelekeza maeneo ya kwetu. Akaniambia kuwa nijiandae ili akifika karibu anipigie simu niende kuchukua haraka ili aendelee na safari zake. Nikamjibu kuwa nilikuwa tayari.

Baada ya nusu saa akapiga tena simu na kunimbia kuwa alishafika nilipomuelekeza. Nikatoka nje na kuiona gari ikiwa imepaki mbele kidogo kutoka kwetu upande wa pili wa barabara. Nikavuka barabara yetu ya vumbi nikilisogelea gari.

Kulikuwa na kiza maeneo yale ya kwetu kwani hakuna mrundikano wa nyumba. Nina uhakika hakuna yeyote aliyeniona nikienda kwenye gari ile ya baba ake Martha. Nilikuwa nimevaa sketi nyeusi ya marinda na singlendi nzuri ya kike. Sikuwa nimejipodoa lakini hilo halikupunguza uzuri wangu. Huwa navutia hata nikitoka kuamka.

"Karibu Aisha."

Baba ake Martha aliniambia nilipofika karibu na gari na kusimama nje.

"Asante baba. Shikamoo"

"Unaniamkia mara ngapi Aisha? Mbona tushaonana leo na tumeonge pia kwenye simu?"

Baba Martha aliongea huku akicheka kidogo. Sikuwa na jibu zaidi ya kujichekesha pia.

"Ok. zunguka huku Aisha uingie kwenye gari."

Aliniambia maneno hayo huku akinionesha upande wa pili wa gari. Nikafanya kama nilivyoagizwa. Nikaingia kwenye gari na kukaa pembeni yake. Nilikuwa najisikia aibu. Sikuweza hata kumtazama usoni. Mbaka wakati ule sikuwa najua kwanini alitaka niingie kwenye gari badala ya kunikabidhi ile pesa nikiwa nje. Cha kunishangaza akapandisha na kioo. Moyo ukawa unanienda mbio huku nikipigwa na baridi ya AC.

"Mhh anataka nini jamani huyu baba?"

Nilijisemea moyoni.

"Unasikia Aisha. Mimi nakusaidia usijali. Nitakupa msaada zaidi ya aliokuombea Martha. Ila na mimi nina ombi."
http://pseudepigraphas.blogspot.com/
Baba Martha aliongea kwa sauti ya kunong'ona.

"Asante. Nikusaidie nini baba?"

Nilisema huku nikishindwa kumtazama usoni.

"Ok. Naomba nioneshe matiti yako. Tangu nilipokuona leo asubuhi nimekuwa nikiyawaza sana."

Sikujua niseme nini jamani. Lakini kama mnavyonijua maneno ya namna hiyo yanapoongelewa mafichoni huwa yanaamsha hisia zangu na kunisisimua kila sehemu. Nilibaki kimya nikitazama mbele.

"Kidogo tu Aisha."

Safari hii aliongea huku akishika singlendi yangu na kuifunua. Niliona anapata tabu kuifunua. Eti nikajikuta namsaidia. Nikaivua yote na kisha nikavua na bra. Sikuwa na cha kupinga. Alinipa pesa nyingi jamani. Sio tabia nzuri kumkatalia.

Akaanza kunipapasa taratibu na kuyabonyeza bonyeza matiti yangu. Nilisikia utamu lakini nilitulia tu. Akayanyonya kabisa. Akanogewa na kuifyatua siti niliyokuwa nimekalia na kuilaza kwa nyuma.

"Tayari jamani. Si ulitaka tu kuona maziwa?"

Nikajisemesha maneno hayo kwa kuwa siku tu na cha kusema. Nilitamani aendelee.

"Subiri Aisha. Kidogo tu"

Nikamuona anatoa kitu kwenye waleti yake. Ilikuwa kondom. Akaivalisha bakora yake iliyokuwa imesimama vizuri na kuingia katikati ya mapaja yangu. Akaipandisha sketi yangu juu na kunivua chupi. Mimi nilikuwa hoi tu nikisubiri sindano.

Akaipenyeza haraka. Nilikuwa nimeloa vizuri mno kwenye papuchi. Iliteleza bila tabu. Akaanza viuno vyake. Akanitafuna kwa dakika kadhaa mbaka akaridhika. Kiukweli mimi sikuwa nimetosheka siku ile. Ila angalau nilimridhisha mfadhili wangu. Nikapewa pesa kibao. Ilikuwa zaidi ya ada na pesa ya kujikimu. Nikavaa nguo zangu vizuri na kurudi zangu nyumbani. MWISHO

0 comments:

Post a Comment

Blog