Search This Blog

INGIZA POPOTE BOSI

 


MWANDISHI : AISHA MAPEPE

"INGIZA POPOTE BOSI"
(Wakubwa tu: 18+)


Shoga yangu Martha siku moja aliniambia kuwa kulikuwa na baba mmoja alikuwa anatafuta mdada wa kumuweka kwenye duka lake jipya la vifaa vya umeme. Nikamwambia nilikuwa tayari kufanya kazi kwa hiyo akampa namba yangu yule bosi.

Asubuhi moja nikapigiwa simu. Alikuwa bosi aliyepiga. Akataka niende alipokuwepo ili anipeleke dukani nikaone mazingira halafu tukubaliane kuhusu maswala ya mshahara. Basi nikaenda. Tukapanda kwenye gari yake mbaka dukani. Akafungua, tukaingia. Akafunga lile geti la fremu. Nadhani ni kwa sababu duka bado lilikuwa jipya. Halikuwa limefunguliwa.
"Aisha hapa ndio dukani. Kuna nyaya, kebo, taa, antena, redio, pasi, feni na vifaa vingine kama Unayoona. Nahitaji uwe unafungua saa tatu asubuhi na kufunga ni saa mbili usiku. Ila siku za mbele biashara ikichanganya tutaongeza msaidizi ili tuweke zamu. Utaweza?"

" Ndio nitaweza bosi"

Nikajibu nikiwa nimesimama pembeni yake.

"Sawa. Sasa kuhusu mshahara? Hebu niambie unataka uanze na kiasi gani?"

Aliniuliza huku akinitazama machoni.

"Jamani bosi. Mshahara wewe ndio unaepanga. Mimi siwezi kusema chochote kwa sasa."

Nikaongea kwa upole huku nikishindwa kumtazama bosi usoni. Alikuwa mnene kiasi. Mrefu na mweusi. Alikuwa amenyoa para na kuacha kiasi fulani cha ndevu, mashavuni na kidevuni.

" Usijali Aisha. Taja tu. Nimekupa nafasi. Unaogopa nini?"

" Mmh bosi niambie tu wewe mshahara uliopanga."

"Aisha jamani! Basi andika hapa kwenye karatasi."

Akaongea huku akitoa peni kwenye mfuko wa shati lake na kufunua daftari lililokuwepo juu ya meza na kisha kunikabidhi. Ikabidi niandike. Nikaandika shilingi laki tano. Nilijikaza tu kuandika vile. Sikutegemea angeweza kunilipa kiasi kile cha mshahara kwa kazi ile ingawa duka lilikuwa kubwa kiasi.

Baada ya kuona kiasi nilichoandika akatabasamu huku akiniangalia usoni.

"Sasa si hivyo umetaja! Safi sana. Sasa mimi ntakuongeza laki moja hapo. Nitakuwa nakulipa laki sita kwa kuaniza. Pia nauli ya kila siku na chakula utakuwa unapata hapa."

Maneno yake hayo yakaniacha na mshangao. Niliona kama anatania. Ajira siku hizi zilivyo ngumu kupata maslahi kama hayo unapoanza kazi ya dukani ni jambo la kushangaza.

" Kweli bosi?"

"Aisha tumejuana leo tu, nawezaje kuleta utani? Mtoto mzuri kama wewe mbona huo ni mshahara mdogo sana. Fanya kazi, biashara ikichanganya ntakuongeza zaidi ya hapo."

"Asante bosi. Nashukuru sana."

Niliongea kwa hisia. Sikuamini kabisa. Ni muda mrefu nilikaa bila kazi kwa kuwa sikupata nafasi ya kazi hata iliyofikia mshahara wa laki nne tu.

"Usijali Aisha. Chukua na hii pesa ili ufanye maandalizi yako, Jumatatu uanze kufungua hapa."

Akaongea huku akihesabu kiasi cha pesa alichotoa kwenye pochi yake. Akanikabidhi shilingi laki moja na elfu ishirini.
"Asante sana bosi."

Nikaitikia huku nikipokea pesa zile.

"Usijali Aisha. Nimependa jinsi unavyovutia. Lazima nikutendee mambo yanayoendana na uzuri wako."

"Asante. Nashukuru sana."

Nikasema huku nikiangalia chini.

"Sawa Aisha. Asante na wewe. Pia nikuulize?"

"Niulize?"

"Umevaa chupi rangi gani?"

Akauliza huku akinitazama usoni.

"Nyekundu."

Nikajibu huku nikitazama pembeni.

"Kweli?"

"Ndio."

"Hebu nione."

Kiukweli nilishindwa nijibu nini. Nilibaki tu kimya kwa sekunde kadhaa.

"Eti Aisha!"

"Abee"

"Naomba nione chupi uliyovaa."

Niliendelea kubaki kimya. Mimi huwa nna aibu sana mwenzenu.

"Unaniruhusu Aisha?"

Ikabidi nimuitikie kwa kichwa kuashiria kuwa nilikubali aone chupi niliyovaa. Nilikuwa nimevaa gauni fupi la kitenge. Bosi akapiga magoti mbele yangu na kulifunua juu.

"Nataka nione chupi Aisha. Ila ndani una taiti. Unaniruhusu niivue?"

Sikujibu kwa mdomo. Nikaitikia tena kwa kichwa kuashiria nilikubali. Bosi akanivua taiti huku mimi nikimpa msaada kwa kuinua miguu yangu. Ndani nikabaki na chupi yangu nyekundu.
"Nikwambie Aisha?"

Nikaitikia kwa kichwa kumruhusu aseme alichotaka kusema.

"Vua basi kabisa hilo gauni nikuone vizuri"

Sikuwa na la kujibu. Nilibaki kimya. Nikatulia kwa sekunde chache na kisha nikageuka nyuma.

"Nifungue zipu."

Nikatamka huku nikichezea vidole vyangu kitoto.

Bosi nae hakuwa na muda wa kupoteza. Akanifungua zipu na kulivua gauni. Akaliweka pembeni.

"Mmh Aisha kumbe ni mzuri kiasi hiki mbaka ndani?"

Akaongea huku akiitomasa papuchi yangu kwa nje juu ya chupi niliyokuwa nimevaa. Akavuta stuli fupi iliyokuwa pembeni na kuniashiria nikae. Nikakaa juu ya stuli. Akapiga magoti mbele yangu na kuinamisha kichwa chake mbaka kwenye kitovu changu. Akaanza kuninyonya kitovu na kunilamba huku akinibonyeza bonyeza kwenye mbavu karibu na kiuno. Akafanya hivyo kwa dakika chache na kisha akahamia kwenye maziwa.

Akanifungua bra (sidiria) yangu na kuanza kuyanyonya matiti yangu huku akiingiza mkono wake ndani ya chupi yangu na kukisugua sugua kiutamu changu. Nilihisi naanza kupandwa na mshawasha. Nikajikuta najinyonga nyonga kulia na kushoto. Chupi ikaanza kuloa.

Hakuwa na muda wa kupoteza. Akafungua mkanda wa suruali yake na kuivua suruali. Akavua na boxer huku mimi nikimtazama tu. Kisha akaniambia nisimame. Akanivua chupi na kuniambia nishike kwenye meza. Nikafanya nilichoagizwa. Msije mkanisema vibaya jamani. Ni wema mkubwa sana alionitendea. Sikuwa na sababu ya kuwa mchoyo.

Nikashika meza huku nikiwa nimepanua miguu yangu vizuri. Nilihisi matundu yakiwa yamepanuka vizuri yakisubiri mchi.

Bosi akanisogelea na kugusisha mti wake huku akapalaza kwa nje bila kuingiza.

"Niingize wapi Aisha?"

"Ingiza popote bosi."

Akaipaka mate ya kutosha ni kisha kuiingiza mbele. Akaisukuma nje na ndani kwa sekunde chache kisha akaihamishia kwenye tundu jingine. Akagusisha kwa nje na kuniuliza tena.

"Niingize na huku Aisha?"

"Ingiza bosi."

Mmmh bosi alivyo na tabia mbaya eti akaingiza kweli. Akaipenyeza taratibu. Kwa mbali nilisikia maumivu ila kadri alivyoisukuma kidogo kidogo maumivu yakageuka kuwa utamu. Akanisukumia mchi vya kutosha.
"Mmhh aaah bosi. Unanikuna mwenzio"

Nilijikuta natamka maneno ya mahaba kwa sauti ya kunyegeza. Mashine ikarudishwa mbele. Nikasuguliwa mbaka nikafika. Na yeye akafika. Kiwepesi nikapata kazi na mshahara ule mzuri na maslahi mengine. Sikusita kumtendea wema bosi kila mara alivyohitaji.
***

Like, comment na kushare ili uone haraka kila inapotumwa chombezo.

INAYOFUATA

"RASHIDI NINYONYE NA HUKU"

Rashidi ni rafiki yangu sana. Alikuwa amepanga kwenye nyumba ya jirani na kwetu. Siku moja nilienda mbaka chumbani kwake kupiga stori. Kilichotokea kule, nilijikuta nampa fursa ya kunyonya maziwa yangu. Alipoyanyonya vizuri nikamwambia kimahaba, "Rashidi ninyonye na huku".*** INAKUJA

MWISHO

0 comments:

Post a Comment

Blog