Search This Blog

MKEO NDIO KATAKA SEHEMU YA 9,10,11 NA 12

 



MKEO NDIO KATAKA SEHEMU YA 9 10 11 12


MWANDISHI:  SAM DARFUR


 

TULIPOISHIA......Siku ya kwanza naingia nilikuwa nageuza macho naangalia ukubwa wa chumba lakini hii leo nimezoea macho yangu yalikuwa yanamuangalia Diana ambaye alikuwa anachagua khanga kwenye kabati la nguo.


"Naomba uchukue hii khanga twende chooni tukaoge kisha ratiba zingine zifuate...." Diana aliniambia nami bila kupinga nilipokea Khanga nikavua suruali na t sheti yangu.....ENDELEA NAYO.


Nilibaki na boksa Huku mkongojo wangu ukiwa umetulia ndani ukisubiria time ya kwenda chooni kuanza kuogeshana.


Mama Deni alikuwa nje kila kilichoendelea alikiona, Moyoni mwake kulijawa na chuki kwa sababu kuna siku aliwahi kunitongoza nami nklimkata.


Nilimkataa sio kwamba alikuwa mbaya hapana, nilipenda jinsi ambavyo alivyokuwa mzuri lakini nilivyosikia tetesi kuwa kaathirika nijawa hofu na ndio sababu ya kumkataa.


**********************************


Sasa Diana alikuwa ameshavaa khanga yake tukaanza kwenda chooni, Choo kizuri kilichopo ndani ya chumba watoto wa siku hizi wanaita Selfie.


Kilikuwa kizuri chakuvutia, mara zote hakikuwa na harufu mbaya kama choo chetu kwa Mzee Steve kule kwanza tulikuwa tunachangia choo hivyo mikojo ilikutana.


Jumlisha suala la kufanya usafi ndio kabisa kuna wapangaji wengine ilipofika dhamu yao walikaushia na kujifanya kama hakijatokea kitu.


Ilikuwa ukiingia kama mgeni umetoka kula muda huo huo basi jua chakula utakiacha chooni kwa njia ya mdomo na sio kunya.


"Eenh baridi...." Nililalamika baada ya Maji yaliyotoka jui ya bombo kuchurudhika.


"Jamani kuna baridi gani hapa" Tulianza kuoga wote huku kila mmoja akichezea sehemu ya Mwenzie.


Diana alikuwa fundi kwenye kushika karungu yeye alihakikisha anaichezea vizuri hadi mdudu akasimama kisawa sawa.


Sasa mambo yalikuwa tayari kufanyika kule chooni, nilijizuia ili nisifanye lakini uvumilivu ukanishinda nilijikuta namuinamisha Diana akaanza kuchuma tembele.


Rungu lililojazii Mbele likiwa na ngozi ngumu nyeusi lilitoa msuli mmoja mkubwa, Nililiangalia nikasema "acha nikuoneshe kwanini umekuja kwangu na kumuacha Mumeo"


Alivyokainama kitumbuo chote kilikuwa kinaonekana kwa nyuma, Nilianza kupitisha kidole.


Nilipoona amestuka kwa sauti ya mahaba, Nilishika rungu langu na kugusisha katika kitumbua.


"Mmmmh baby Jay......" Diana aligumia.


Nilizamisha yote, nikapiga mishindo miwili ya nguvu, niliona akisogea mbele kama Anataka kuanguka.


Sikujali nilijua atajishikilia kwenye sink ya kunawawia Maji, Naye alivyoona kama anataka kuanduka alishika sink na kuwa imara sana.


Kama kawaida yangu kwenye mchezo huwa sifeligi nilipiga kwa nguvu zote, chomeka chomoa chomeka chomoa.


"Jay Jaaaaaaaaaay Jaayyyyyyyyy mwenzio Mwenzioooooooooooooooooooooo" Alikuwa analalamika kwanguvu kila nilivyopiga rungu Bado kwake alikuwa anahisi utamu ulioambatana na maumivu.


Diana alikuwa na kitumbua safi ambacho kwa mashine yanvu kilikuwa kinaenda sawa sawa kamwe haikupwelepweta.


Maji yaliendelea kuchurudhika taratibu bila kujali mwanaume niliendelea kumpa uroda hadi nikamwaga.


Lilikuwa ni Bao la Pili ukijumlisha na lile ambalo tulipiga nyumbani Kwangu.


Nilianza kuhisi Njaa, akili ya kuwa niko nyumbani kwa Mtu ilinijia Sikutamani Tena Kuendelea na Game.


"Diana nadhani umeridhika sasa...." Nilimwambia huku nikimwangalia Diana ambaye alikuwa amechoka anahema.


"Kwakweli sio kwa kunifanyia hivi yaani nahisi kama kuna moto" Nilivyosika kama kuna moto nikaona kabisa hapa hakuna mchezo ambao utaendelea.


"Basi sawa acha nijiandae niondoke nikatafute pesa Ya Gesi" Kumbe Mama Deni alikuwa amempigia Simu Mume wa Diana kuwa "Diana Ameingiza Mwanaume Ndani..



Bila kujua nini kinaendelea nilitoka ndani nikaanza kuchapa rapa, Mungu sio Athmani licha ya Diana kunilazimisha nibaki sikutaka kubakia.


Niliondoka zangu, nilimuacha kanuna kitandani hilo sikulizingatia sana nilijua mwenye jukumu la kumfanya awe na furaha ni mume wake.


Wakati natoka Mama Deni hakuwepo Nilienda Zangu.


***********************************

Mume wa Diana alikuwa na hasira, Alienda kuchukua vijana wanne ambao wanatumika sana kwenye matukio ya Kufumania watu.


Mara zote wao wakikukuta wanapewa amri ya kukuingilia, alifanya hivyo ili kunifundisha adabu kuwa mke wa Mtu Sumu.


"Vipi bado yupo huyo mtu...." Alimuuliza Mama Deni Kwa njia Ya Simu.


"Ndio Bado Yupo..."Alivyojibiwa hasira zilizidi kumpanda mara mbili.


"Vijana naomba tuwahini hakikisheni tukimkuta hakuna kitu ambacho mtakisubiri ni kumfanyia ukatili tu sawa.....!!"


"Ndio Boss"


Vijana wanne walikuwa wamejazia Miili Yao, Kwao Six pack zilikuwa kawaida kila mmoja alienda hewani.


Walikuwa ni wabeba Vyuma wa Pale mtaani.


Wakati niko zangu kwenye mishe Mishe niliona watu waapita wameongoza nilivyoangalia vizuri niliona sura ya Mume Wa Diana.


Nilijua labda wanaenda kwenye Mishe mishe zao, niliwaangalia Mwisho nikakausha zangu.


***********************************


Diana licha ya kusema kuwa ameridhika kumbe bado alikuwa na nyege, aliendelea kujisugua sugua kwenye kitumbua chake.


Alitamani apatikane mwanaume ambaye atamkuna na kumpa utamu aliendelea kugumia taratibu kila kujua kuwa mumewe anakija na timu ya watu ili kufanya Fumanizi.


Walikuwa tayari wamefika mlango,waliposikilizia sauti walisikia Diana anagumia "aishiiiii Mmmmmmhhhh Jamaniiiiiiiii"


Mume wa Deni alijawa na hasira bila kupoteza Muda Alifungua mlango, kwakuwa ulikuwa wazi haukufungwa nao ukakubali kufunguliwa.


Vijana wanne waliingia ndani, Diana alishangaa kuna nini kuona mume wake kaja na vijana wanne.


Alishindwa kuvaa nguo ili kujizuia wengine wasione kwakuwa walifuata na mume wake hakuwa na jinsi.


"Mume Wangu kuna nini....?" Diana aliuliza lakini hakupata Jibu.


Mumewe aliwaambia vijana watafute kila mahali hawakufanikiwa kuona kitu.... "Mkuu hakuna mtu."


Mwili uliisha nguvu asijue anamwambia nini Mke wake ukizingatia ameingia na watu ndani bila ya taarifa yake kibaya ni kuwa amemkuta akiwa uchi wa mnyama...


"Basi vijana mnaweza kwenda nitamalizana na ninyi baadae sawa" Vijana walimwangalia mwisho hao wakatokomea.


"Ina Maana Mama Deni amenifanya Mimi Mpumbavu....." alizungumza kwa Sauti kubwa hadi mke wake akashangaaa



Ferouz alibaki akikodoma, alibaki kuweka mikono kiunoni alishusha pumzi kwa nguvu "mmmmh" alikooa kidogo na kuongea


"Nimeambiwa na Mama Den kuwa umeingiza mwanaume ndani tena hawa watu walikuja ili wamfanye unyama huyo mwanaume ila nashangaa hayupo.."


Diana alishangaa kuona mama Den ameanza kuzungumza mambo yake ya siri.


"Ina maana mama den amekuambia nimeingiza mwamaume ndani sio....?"


"Ndio kaniambia hivyo na nilivyofika hapo mlangoni nilivyosikia sauti ya miguno nilihisi kabisa kuwa kuna mtu ndani unafanya nae mapenzi...."


"Yaan, Mama Den huyu ninaemjua mimi ninayemsaidia kila siku au kuna Mwingine...."


Ferouz hakuwa tena na jibu alimwangalia mkewe, Kichwa chak kilikuwa na mawazo alitamani aendelee kuongea ila Nafsi ilimwambia "ukiendelea kuongea mtagombana bure....."


Aliamua kukaa kitandani huku anamwangalia mkewe ambaye amemdhalilisha ukizingatia aliingia ndani bila hata taarifa isitoshe alichukua na watu kutoka mtaani.


Suala la kuingia hakuwa shida, shida ilikuwa kwamba wale vijana wameona kila kitu cha mkewe, alianza kumgeukia mke wake ambaye alikuwa amekaa nae kitandani.


"Baby nimekosea sana Leo naomba unisamehe unajua kuna watu wengine ukiwasikiliza utaaribu mambo yako mfano huyu Mama Den najuta kwanini niliamini maneno yake...."


Diana alisikiliza maneno mwisho akaweka sura ya hasira nakusema "umetaka mwenyewe hujui nani ana uwezo wa kulinda ndoa yako na nani ataaribu ndoa yako, usione watu wanacheka na wewe ukadhani Wanakupenda hapana...."


Waliongea kwa zaidi ya dakika Saba huku Ferouz akiomba msahama, Kama unavyojua Mke akiwa Chumbani na mumewe wanajiachia sana.


Joto lilianza kukolea Ferouz alivua nguo na kubaki uchi wa mnyama, Bado nyege zilikuwa zinakuwa zinamsumbua Diana, alivyoona suala la kuingiza mwanaume limeisha Alijisogeza kifuani kwa Mume wake.


"Mume wangu unajua kabisa nakupenda kiukweli siwezi kukusaliti niamini tufikie malengi yetu"


Alizungumza huku mkono wake ukiwa umeshika mashine Ya Ferouz Taratibu aliinamisha kichwa chake na kuanza kuchezea Rungu.


Rungu la Ferouz alikuwa kubwa kihivyo hata likivyoingia mdomoni mkewe alianza kuliramba vizuri, Alizungusha likiwa ndani.


Jinsi ambavyo utamu ulikuwepo Ferouz alianza kugumia "mmmh Jamani Eeeeeh Diana Baby....."


Diana alikuwa fundi kungwi wake aliweza kumfundisha vizuri namna ya kushaka na kunyonya koni, alivyonya kwa umalidadi huku akipaka mate kwenye kichwa kila alivyotoa mdomoni.


Feni ilikuwa inazunguka ili kuleta hewa safi ambayo ilisaidia wajihisi kama wako sehemu nzuri, Taa iliendelea kushuhudia Mechi ile ambayo ndio kwanza wachezaji wanaanza kupasha misuli, Panzia Ya Dirishani ilikuwa iko wazi hivyo kufanya dirisha liweze kupitisha hewa kwa upande wake.


Kitanda kilikuwa cha nchi tano kwa sita kilikuwa na godoro safi ambalo lilikuwa zimetandikwa na shuka zenye rangi nyeupe.


Mlangoni kulikuwa na picha ambayo walipiga siku ya ndoa, Upande wa ukutani ambako kitanda kilikuwa kinaangalia kulikuwa na Tv kubwa ambayo ilikuwa imezimwa.


*********************************


"Diana unaniua" Ferouz alilalamika kama mtoto baada ya Diana kupitisha Mashine kwenye chuchu zake zilizosimama kama Embe dodo.


Wakati wanaendelea kupeana utamu, Mama Den alikuwa anatoka chumbani kwake na khanga moja alitoka nje kufuata chupi yake ili aende akaogo alivyofika mlanoni kwa Den alisikia sauti zinalia kama watu wanafanya mapenzi.


Aligairisha safari ya kwenda kuoga, tataribu alisogelea kitasa, aliona Deni yuko anashindilia msomali, kila alivyotupa jicho mkono wake ulikuwa unasogea kwenye kutumbua chake.


Alianza kuchezea kitumbua gafra baba Den alitoka chumbani kwake, alimwangalia mkewe mwisho akamshtua "Wewe unafanya nini hapo......


ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog