Search This Blog

MSAMARIA MWEMA ALIVYONILA UTAMU

 



EP 01: MSAMARIA MWEMA ALIVYONILA UTAMU


Naitwa Aisha. Nina umri wa miaka 25. Wengi hunisifia kuwa nimeumbika kwa umbo na sura. Hata kioo huwa kinaniambia hivyo. Wanaume wengi huvutiwa na mimi. Lakini nina udhaifu mmoja... Unaweza kuniita 'Aisha Mapepe'.


Siku moja nilikuwa nakwenda kwa Jacob. Mmoja kati ya maboyfriend zangu wachache. Huwa sina wanaume wengi kiasi hicho. Nilishuka kwenye daladala huku mvua ikiwa imeanza kunyesha. Nikajaribu kukimbia ili niwahi kutafuta sehemu ya kujikinga na mvua na kisha niendelee na safari baada ya mvua kuacha kunyesha. Ilikuwa saa 11 jioni lakini kiza kilicholetwa na wingu zito kulifanya ionekane kana kwamba usiku ulikuwa karibu zaidi kuingia.


Baada ya hatua chache nikafika kwenye baraza ya nyumba moja ambayo ilikiwa imefunikwa na paa la nyumba na kufanya mvua isifike barazani. Nikasimama pale. Nilikuwa nimepata sehemu nzuri ya kujikinga na mvua.


"Hodi wenyewe"


Aisha mimi nikaamua kuita ili angalau nipate kuwafahamisha wenyewe kuhusu uwepo wangu. Sikutaka kuonekana mvamizi. Niliita mara tatu lakini hakuna aliyeitika. Mvua iliendelea kuwa kubwa. Nilisimama pale kwa dakika zaidi ya kumi lakini hakukuwa na dalili ya mvua kuacha. Nikaendelea kusubiri huku baridi kiasi likiwa linanipiga kwa kuwa nguo zangu zilikuwa zimenyeshewa kidogo.


Wakati nikiendelea kuwa pale punde nikasikia sauti za vishindo ndani ya nyumba. Nikajua kuwa ndani kulikuwa na mtu au pengine watu. Vishindo vile vilikuwa vinasikika vikija kwenye upande niliokuwepo mimi. Vilisikika vikija barazani. Punde nikasikia mlango wa barazani ukifunguliwa. Baada ya mlango kufunguka macho yangu yakakutana na mvulana aliyeonekana kuwa na umri wa takribani miaka 22. Alikuwa amevaa pensi fupi na singlendi, mrefu kiasi. Kwa mwonekano wake naweza kusema ni handsome.


"Habari"


Mvulana yule alinisalimia baada ya kufungua mlango na kusimana mlangoni huku akinitazama.


"Safi. Samahani nimevamia bila ruhusa. Najikinga tu na mvua. Samahani" Nikaongea huku nikilazimisha tabasamu la kirafiki.


"Oh usijali. Ilikuwa lazima ujipatie msaada. Haina shida."


"Asante. Nashukuru kwa msaada."

"Usijali. Unaitwa nani lakini?"


Aliuliza mvulana yule huku macho yake yakionekana kunitazama kwa matamanio. Macho yake yalionekana kuuutazama msambwanda wangu ulioonekana vizuri ndani ya sketi fupi nyeusi niliyokuwa nimevaa. Pengine alivutiwa na umbo langu namba nane ambalo huwapagawisha.


"Naitwa Aisha."


"Una jina zuri sana. Nafurahi kukufahamu. Mimi naitwa Athumani. Ila napenda nikukaribishe ndani. Ingia tu usijali ukae hapa sebuleni. Mvua ikiisha utaendelea na safari yako."


Mvulana yule msamaria mwema alinikaribisha ndani kirafiki huku akitabasamu.


"Asante sana. Ila usijali. Mvua itakatika muda si mrefu. Acha tu nisubiri hapa"


Nilitoa majibu hayo kwa kuwa nilisita kuingia ndani. Mbaka wakati ule sikuwa najua iwapo mule ndani kulikuwa na mtu mwingine au la.


"Aisha karibu jamani. Mvua haina dalili ya kukata sasa hivi. Pita tu hapa sebuleni."


Athumani aliendelea kunikaribisha. Safari hii sikujibu chochote. Nilinyamaza kimya nikitazama chini. Akafungua mlango uwe wazi zaidi akiashiria nipite ndani.


Aisha mimi nikavua viatu na kuingia sebuleni. Nikakaa kwenye moja ya masofa yaliyokuwepo pale. Athumani akasogea mahala ilipokuwepo swichi na kuwasha taa kwa kuwa mawingu yalileta kiza. Kisha akakaa kwenye sofa lingine pembeni ya lile nililokuwepo mimi.


"Karibu. Wewe ni mgeni hapa mtaani eh?" Athumani aliniuliza.


"Ndio. Mimi naishi Mazimbu. Nimekuja tu kumtembelea rafiki yangu. Anakaa huku mbele."


"Sawa. Ndo maana naona sura ni ngeni. Anaitwa nani rafiki yako?"


"Anaitwa Jesca." Niliamua kumdanganya. Sikutaka ajue kuwa niliyekuwa naenda kumtembelea ni mwanaume. Sijui kwanini nilifanya hivyo. Ila nahisi pengine sikutaka maswali mengi.


"Ok. Karibu sana". Athumani aliongea huku akichukua rimoti na kuwasha TV.


Tulitazama video kadhaa za muziki kwenye kituo kimoja cha TV. Hatukuwa tukiongea chochote kwa dakika kadhaa. Mvua kubwa ilikuwa inaendelea kunyesha. Nilihisi nimebanwa na haja ndogo.


"Athumani choo kiko wapi? Naomba nikajisaidie samahani." Nilitamka huku nikimtazama usoni mwenyeji wangu.


"Fungua mlango ule utatokea uani. Utauona mlango wa choo mbele yako. Ndala zipo hapo nje tu ya mlango. Nikupe mwavuli?"


"Haina haja?"


Nikainuka na kwenda kwenye mlango wa uani niliolekezwa. Nikashika kitasa na kunyonga. Haukufunguka. Nikajaribu kufungua kwa ufunguo uliokuwa unaning'inia. Sikuweza kuunyonga ufunguo ule. Ulikuwa mgumu mno. Nikahisi pengine haukuwa umefungwa. Nikajaribu kunyonga tena kitasa kujiridhisha. Mlango haukufunguka.


"Huo mlango huwa unasumbua. Fanya kama unasukuma kwa nje huku unafungua kwa ufunguo" Athumani akanielekeza akiwa amekaa pale alipokuwepo.


Nilifuata maelekezo lakini sikuweza kufungua mlango. Mlango ulikuwa mgumu mno. Punde Athumani akaja kunisaidia. Nilimuona akiusukuma kwa nguvu huku akinyonga funguo. Ukafunguka. Nikaenda chooni.


Nikajisaidia kwa dakika chache na kurudi sebuleni. Athumani akanisaidia kuufunga mlango. Ulikuwa mgumu hata kufunga.

Mvua bado ilikuwa inanyesha. Ingawa kasi yake ilikuwa imepungua lakini bado sikuweza kuondoka. Ingenilowesha sana. Punde sms ikaingia kwenye simu yangu. Ilikuwa sms kutoka kwa Jacob.


"Aisha umefika wapi? Na mvua hii mwenzio imesimama mbaka inauma huku."


Jamani sms ile nikahisi ilinilowesha. Nina udhaifu mwenzenu. Napenda sana hayo mambo. Nikawa nataka nijibu ujumbe wa Jacob. Mara nikajihisi tofauti. Hisia za utamu zilizonijia zikanifanya nigundue kuwa sikuwa na chupi wakati ule.


" Jamani chupi yangu nimeisahau chooni nini?"


Nikajisemea moyoni. Huku nikionesha mstuko. Mwenyeji wangu Athumani ambaye muda wote alikuwa bize akitazama muziki aligundua mshtuko wangu.


"Aisha una shida gani?"


"Samhani kuna kitu nimesahau kule chooni. Naomba nifungulie tena mlango."


"Ok usipate tabu Aisha. Umesahau nini nikakuchukulie?"


Swali hilo lilikuwa gumu kwangu kulijibu. Nilisita kumtajia nilichokuwa nimesahau kule chooni. Nilikaa kama sekunde chache nikiwa kimya.


"Nimesahau ku.. kuvaa chupi yangu. Nimeisahau chooni."


Nilijikuta nimeropoka ukweli japo kwa kigugumizi huku nikishindwa kumtazama usoni Athumani.


"Kweli Aisha?"


"Kweli."


"Acha utani bwana. Hebu nione kama kweli huna chupi hapo."


Maneno hayo yalinifanya nijihisi papuchi ikitekenya. Nikahisi kama naloa. Nikiwa kimya nikamuona Athumani akisogea mbaka mbele yangu. Akachuchumaa chini. Sijui alipata wapi ujasiri ule. Mara nyingi huwa navutiwa na wanaume wa aina hiyo.


Akapeleka mkono wake kwenye mapaja wangu. Alitaka kukagua kuwa ni kweli sikuwa na chupi. Jamani Aisha mie. Eti nikajikuta nimempanulia mapaja. Nikahisi mkono wa baridi ukinigusa mbaka kwenye utamu wangu. Nikatetemeka kidogo kwa msisimko. Athumani akatoa mkono wake.


"Sawa. Ngoja nikakuletee chupi yako."


Wakati anasimama nikagundua kuwa mnara wake ulikuwa umesimama. Saizi kubwa kama ya Jacob ambayo ndo nilikuwa naifata. Basi Athumani akaenda kule chooni. Akarudi na chupi yangu nyeupe akiwa ameishika.

Akaja mbaka nilipokuwa nimekaa. Akanipa chupi yangu mkononi. Kitu chake bado kilikuwa kimesimama. Nilijihisi nahitaji mambo fulani. Lakini aibu ilikuwa imenitawala. Nikawa najifanya nachezea simu yangu ya Samsung J5.


"Mbona imesimama hivyo?"


Nikajikuta najikaza na kuropoka.


"Mhh umenisisimua sana Aisha. Kunipa nafasi ya kukushika huko ndo kumeleta hii tabu."


Maneno hayo ya Athumani yakanifanya nijichekeshe Aisha mimi.


"Basi ngoja nikusaidie ilale."


Nna tabia mbaya jamani. Eti nikamsogelea. Nikamshika pensi yake na kumvua. Nikachukua rungu lake na kuanza kulinyonya. Sikuwa hata na wazo la kumuuliza iwapo ndani ya nyumba kulikuwa na mtu mwingine au la. Sikuwa hata najua alikuwa anaishi na nani. Lakini nikapata ujasiri wa kumnyonya. Wanaosema Aisha nna damu ya dyudyu hawakukosea.


Wakati namnyonya nikazidi kuloa huku chini. Na yeye rungu lake lilizidi kusimama na kukakamaa kwa nguvu. Sikuwa na nafasi ya kubadili mawazo tena. Punde alinichukua na kuniweka kwenye kochi. Mhh Athumani mdogo kwangu kiumri lakini alinitawala vyema.

Akaipanua miguu yangu kulia na kushoto baada ya kuipandisha sketi yangu nyeusi juu. Akaingia katikati. Mie niko hoi sijiwezi. Nasubiri sindano ya kunitibu.


"Mhhh aaah aaah"


Miguno ya maana ilisikika kutoka kwangu baada ya sindano kuniingia. Nyie utamu wa mua kwenye baridi, asikwambie mtu! Athumani akanipa vitu. Nikalegea na kupiga kelele za utamu.


Nilihisi kana kwamba sikuwahi kuonja utamu ule. Alinisugua kisawa sawa huku akiniingiza ulimi wake masikioni. Hapo ndo nikachanganyikiwa zaidi. Hazikupita dakika nyingi nikawa nakaribia kufika. Utamu ukazidi kiwango. Nilijikuta namng'ang'ania kwa nguvu kiunoni. Alinifikisha. Na yeye akafika. Akatoka juu yangu na kukaa pembeni huku ananisifia nilivyo mtamu. Mimi nilibaki kimya tu.


Nikaenda chooni na kunawa vizuri. Nikavaa chupi yangu. Safari ya kwenda kwa Jacob nikaivunja. Sikuwa tena na cha muhimu cha kukifata kule. Nikamuaga mwenyeji wangu na kurudi nyumbani.


Athumani ni msamaria mwema. Alinisaidia kunipa hifadhi ndani kwake wakati mvua ikiwa inanyesha. Sidhani kama nikikosea kumpa utamu.


***


Kwa stori nyingi zaidi za Aisha Mapepe ingia kwenye group la 'RIWAYA NA HADITHI TAMU' kwa kubonyeza hapo chini na kisha KUJIUNGA/JOIN.

0 comments:

Post a Comment

Blog