Search This Blog

LUNCH TIME



 Janifa ni dada fulani huko Dar es Salaam. Ana miaka 32, ana kazi ya maana na ana mtoto moja wa kike. Alibahatika kuolewa lakini mume wake kamwacha kusudi aoe mwanamke mwingine. Ukimwona Jenifa, kwa kweli bado ni mzuri ajabu.


Basi nilivyokuwa Bongo mwaka jana nilikutana naye. Nikamkaribisha lunch hotelini kwangu. Saa 6 na robo akaja. Tuliagiza chakula, tukala. Katika maongezi nilihisi kuwa amekosa raha shauri ya kuachana na mume wake. Alisema kampenda sana na haelewi kwa nini kamwacha.

Nikamwuliza kuhusu maisha yao ya ndoa na hasa uwanja wa sita kwa sita. Alijibu, kuwa kila siku alikuwa tayari kumpa vituuz. Lakini siku za mwisho mwisho mume wake alikuwa kama vile hana hamu naye. Nikamwambia kuwa hapo tayari mume wake alishamchukua mwingine.

Nikafikiria na sikuona sababu ya mume wake kutokuwa na hamu naye. Nikaamua kumwuliza walikuwa wanafanyaje. Janifa mwanzo kaona haya kusema. Lakini nikawmabia hakuna sababu ya kuona haya maana sisi wote ni wakubwa.

Basi Janifa kaniambia kuhusu maisha yake ya ngono na mume wake. Alisema, Mume wake alikuwa anasimamisha halafu anamtomba. Mara amgeuze, mara doggy, mara kifo cha mende. Nikasema, "Halafu?"

Janifa kasema, "Heh! Dada Chiku una maana gani Halafu! Akishamwga si basi, analala, nami nalala!"

Kweli nikasikia huzuni moyoni. Nikamwuliza kama aliona raha wakati akifanya tendo la ndoa na mume wake. Janifa alijibu kuwa kila akifanya ngono na mume wake aliona raha, maana akiona mume wake ana raha naye ana raha…"

Hapo nikajua kuwa rafiki yangu Janifa hajawahi kupata O, na wala hajawahi kuonja utamu wa dunia. Maana mwanamke ukifishwa O, ni kitu amabacho huwezi kusahau. Nikawaza jinsi ya kuwelezea, tatizo lake ni nini. Nikaamua kumwambia ilivyo.

" Janifa mpenzi, ni hivi, mume wake alikuwa mroho, na alikuwa hakujali katika mapenzi. Alikuwa anajali raha yake tu, na utaona, hiyo ndoa yake ya sasa haitadumu!’

"Heh! Dada Chiku una maana gani?"

"Maana yangu ni kuwa alikuwa hakuridhishi katika ngono."

"Hapana Dada Chiku nilikuwa naridhika."

"Ngoja nikuulize, baada ya kumaliza ulikuwa bado una hamu ya kuendelea?"

"Ndiyo mara nyingi tu, lakini alikuwa amechoka."

"Hapo! Ungetosheka usingekuwa na hamu, at least kwa muda!"

Janifa kafikiria nilivyomwambia.

"Doh! Dada Chiku nadhani umesema kweli!"

"Kwanza , Pole sana, tena sana, miaka yote hii umekaa bilia kujua raha hasa ya ngono.."

"Sina la kusema, ila kuna siku utakutana na dume ambaye anajua kukuridhisha, na utajua umepata O. Je, Uliwahi kumnyonya mboo?"

"Khaa! Uchafu huo!"

"Siyo chafu! Yeye aliwahi kukubusu huko chini?"

"Wala!"

"Pole sana."

"Una maana gani Dada Chiku?"

"Bahati mbaya ilibidi nikimilie mkutano, njoo kesho, na nitakuezelea zaidi."

Tukaagana na kaondoka. Bahati mbaya kesho yake alipatawa na dharura hatukuweza kuonana. Nilivyoondoka, Janifa kaja Airport kunisindikiza na kaniletea zawadi ya khanga.

Baada ya kama miezi mitatu nilipokea e-mail:

"Hi Dada Chiku!

‘Yaani nimekuelewa sasa. Nimempata B-F mpya. Jamani anajua mapenzi. Tongue Kiss kali, ananiapasa, na ananibusu na kuninyonya huko. Raha sana. Sikujua kuwa mwili wangu una raha kiasi hicho. Na mimi sina haya tena, nanyonya! Halafu anajua mchezo wa KiHaya. Siku zote nilidhania ni chafu na dhambi kumbe hakuna lolote raha tupu! Sitaki kukuelezea mengi, mpaka ukirudi.

-Janifa’

Nilijua Janifa sasa kawa mkubwa.

Nilivyoenda Bongo hivi karibuni, nilimkuta rafiki yangu Janifa kawa mwanamke mwingine! Alikuwa na raha ajabu na kazidi kupendeza,! Badala ya kuonekana kama ana miaka 32, alionekana kama ana miaka 22! Nikamwuliza imekuaje tena. Kaniambia siku hizi ana Boyfriend mpya anaitwa Mike. Na huyo Mike hana raha bila wao kuonana, naye alisema hana raha mpaka amwone.

"Mwaya, nilichukua ushauri wako, nikamnyonya mboo! Kumbe kunyonya mboo rahisi sana. Labda ningekuwa namnyonya mume wangu asingeniacha."

Nikajibu, "Huwezi kujua!"

Baada ya muda kidogo Mike kaja. Alivyokuwa handsome, nikashindwa kuamini kuwa rafiki yangu Janifa.

"Mpenzi wangu Janifa, kwa ruksa yako, naomba nimbusu Dada Chiku, kwenye shavu!"

"Ruksa unayo!"

Mike kanibusu kwenye shavu ya kulia. Alivyonibusu, nilijua kuwa kampenda Janifa kweli. halafu alisema, " Site yako inafundisha mengi…jiko la mkaa!" Nilianza kucheka. Nao walibakia kutazamana kwa macho ya mapenzi. Kwa mpigo walisema, "Asante Dada Chiku!"

Arusi ya Janifa na Mike ilikuwa mwezi uliyopita, lakini bajati mbaya nilishindwa kurudi Bongo kuhudhuria.


MWISHO!

0 comments:

Post a Comment

Blog