Search This Blog

MKEO NDIO KATAKA SEHEMU YA 5,6,7 NA 8

 


MKEO NDIO KATAKA SEHEMU YA 5 6 7 8


MWANDISHI:  SAM DARFUR


 

Niliopona asali bado iko nyingi kwenye chupa nilichukua chupa kizima nikakamua asali ili kuweka katika mgongo wake, Nilimwangalia vile ambavyo anachezesha miguu nikajua kabisa mzigo umetiki kilichobaki ni mimi kuonesha ufundi...!!!


Nilipitisha Asali kwenye mfereji ambao unafika hadi kwenye tundu taratibu nayo ilishuka kuelekea kule ambako nilitaka ifike, Kwa ufundi niliosogeza kwa kidole hadi ilipofika kwenye arage ambalo lilikuwa limevimba kwa juu.


Bado Diana alikuwa amelala chali huku aking'ata mdomo wake wa juu kwa kwa Meno sababu kadri asali ilivyokuwa inaningia kwenye tundu lake ndivyo utamu ulizidi mkolea nilimuona akichezesha miguu na kushika mashuka.


"Jay Kwanini nimechelewa kukujua Jamani" Aliniambia huku akionesha anataka kisi nami bila kupoteza muda niliinamisha kichwa changu na kupata lita kadhaa ya ya mate mazito kutoka kwa Diana.


Nilimpindua na kuanza kuchezea chuchu zake huku mkono wangu umejaa mafuta nilikuwa natereza tu kwenye chuchu zake nzuri vijana wa mjini wanaita embe dodo na vile zimesimama unaweza sema mumewe azinyonyagi, Nilianza chezea sehemu ya chini kwenye arage, Kwa ufundi nilihakikisha kidole changu cha kwanza kutoka mwishoni kinaanza kuingia.


Nilipotisha taratibu sana "Shiiiiiiii...Mhhhh....

Aiiiiiii" Sauti ya kuashiria kidole kimefika ilisikika nikasema Yes nilikuwa nataka hapo, Niliongeza kidole cha pili nikaona kabisa mtoto anaanza kujibunua kuashiria utamu umeanza kuingia.


Sauti nzuri ya mahaba ilibeba hisia zetu huku masaa nayo yakienda bado hakuna ambaye alikuwa anataka kufahamu ni saa ngapi sio mimi wala Diana wote tulikuwa kwenye dimbwi nzito la mahaba ambalo hatujui linaisha saa ngapi.


Kwangu ufundi ilikuwa ni sehemu ya maisha yangu yaani kutumia saa moja kumwandaa mwanamke haikuwa kitu cha kushangaza, nikichokuwa nataka ni kila mtu afurahie kile ambacho atakuwa anakipata kutoka kwa mwennzi wake, kwa maandalizi haya machache niliona kabisa Kitumbua cha Diana kikiwa tayari kimerainika kinatamani kuliwa ila niliendeleza utamaduni wangu na safari hii nilishusha kichwa hadi sehemu za mapaja nikatoa ulimi na kuanza kupitisha taratibu kando ya mapaja mawili.


Kila alipojaribu kugusanisha mapaja yake nilimzua ili kuendelea kukamilisha kile ambacho alikuwa ananilazimisha nimpe, Mihemo ya haraka haraka iliyoambatana na utoaji ndani ya pua na kutoa nje ilisikika tena ilikuwa inatoka kwa sauti kubwa, Kwangu ilikuwa ni furaha na ilichochea kasi ya kuendelea kumfanyia maajabu yule binti ambaye ametoroka kwa mumewe na kuja kupewa utamu kwangu.....



Nilizama chumvini ili kuangalia kama mgodi wa uvinza uko sawa, nilinyonya kisawa sawa kila kona ya kitumbua nilihakikisha naramba kwa madoido tena ulimi wangu ulikuwa unagusa kwenye ncha ya mbele, hii ilisadia kwa Diana kutoa mihemo mizito ya kimapenzi.


"Mmmh...aishiiiiiiiiiiiii....Ja...Yaaaaa Onaaaaa.....Pooooooonaaaaaaa" Niliona anaongea maneno ambayo hata sijawahi kuyasikia kila neno lilikuwa halimaliziki kweli chumvini hakuhawahi mwacha mtu salama, yaani Diana Leo wakuongea maneno ambayo hata hayana maana.


Kwenye utamu sio mchezo hakika huku chini kuna maana yake sio kwa raha hizi ambazo mtoto Diana anazipata kila nilivyopeleka macho juu niliona jicho lake likizungushwa kama mlevi vile, Jicho lililegea hasijue anaangalia au anasinzia.


Kitumbua cha Diana kilikuwa kizuri laiti kama kingekuwa kinauzwa basi ningekuwa nanunua kila siku asubuhi nakunywa na chai, Kwanza Lilikuwa lina rangi nyeupi ya kuvutia, Halina Manyoya kwa Juu liko na usafi, Hii ilinifanya hadi nizame chumvini.


Mara zote nimekuwa mvivu wa kuzama mgodi wa uvinza kuchimba chumvi sababu za kiusalama wa Afya yangu hata alivyokuja ile juzi sikufanikiwa kuzama ingawa nilimpa maandalizi mazuri.


Sikuzama kweli nilihofi kukutana na vitu ambavyo vingenifanya koo yangu kushindwa kupitisha mate vizuri, ila kwa usafi ambao nimeuona Leo ilinilazimu tu kuzama na kama nisingezama basi ningemkatili mtoto wa watu.


Diana alikuwa tayari ametosheka na maandalizi mazito ambayo ameyapata hakutaka kabisa kukatishwa utamu niliona mkono wake unaanza kushika shuka na kuzikunja.


Mbinuko mkubwa wa kiuno chake ulifuatia, alienda juu na kuinua kichwa changu ambacho bado kilikuwa chumvini kinakula zake chumvi taratibu, Nilipoona dalili zote za kulainika ziko wazi nami nikatoa karungu yeye aje aoneshe namna gani hii kitu inafanya watu wagombane..




Jua lilikuwa tayari lishaanza kukomaa, dalili za kuanza kutokwa majasho nilianza ziona, Gheto Langu nalijua mwenyewe ikifika saa tano na nusu basi hakukaliki lazima joto lichukue nafasi na kunitambia kuwa sisitahiki kukaa mle ndani.


Bila kuoteza muda niliishika bunduki yangu ambayo imesimama kisawa sawa, nikaiingiza kwenye tundu la Diana.


"AIIIIIII.....MHHHHHHH,,,,,SHIIII AUUUUUUUUUU Jay mbona umepeleka yote hivyoooooooooooooooo" Loh! Diana alitoa sauti nzuri sana hata alichokiongea sikukizingatia mwanaume nilizamisha mashine yangu ikazama kisawa sawa na vile ana tundu dogo basi ilishikana hadi utamu ukawa unakuja wenyewe badala ya mimi kuutafuta.


Nilihakikisha sifanyi kizembe michomeko sahihi ya kazi za 5G ilifuatia, nilipeleka mwichi wangu kwenye kinu kama natwanga mchama "paaa paaaa paaa paaa" Mbili za mkweli zilikuwa zinatoa mlio baada ya kugusana na makalio ya Diana.


Diana naye hakutaka kunionesha ushamba wake kwa kulala tu kitandani hata kama tulianza na kifo cha mende lakini alizungusha viuno hadi mwanaume nikasimamisha mapigo yangu na kushuhudia vile viuno ambavyo Harmonize ameviimba "every body say uno"


Uno la Diana lilikuwa Uno kweli, uwezo mkubwa wa kuzungusha kiuno huku mashine iko ndani ya tundo sijui aliutolea wapi maana wanawake wengi ambao nimetembea nao walikuwa hawawezi kuzungusha kiuno huku karungu yeye akiwa anafanya yake ndani ya shimo.


Nyoka aliendelee kumtafuta panya kwa zaidi ya dakika tano katika pango la Diana, sauti za mahaba kutoka kwa Diana ziliendelea kunipagawisha katika kichwa changu, Niliona kabisa Duniani niko mimi na Diana hata kifo niliweka pembeni.


Zile kelele za Mume wake nilizisahau, nilichojua ni kwamba Diana ni wangu peke yangu na vile alikuwa nanipa mihemko ndio kabisa.


Miguu ilianza kunipa dalili za kutoka kwa maji mazito ambayo yanatoa watoto "uuuuuuuuuuhhhhhhhh Diaanaaaaaaaaaaaaa namwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa" Nililia kama mtoto mdogo utamu ulianza mapajani huo ukafika kwenye akili.


Kwa utamu ambao nilikuwa naupata hata kama mumewe angekuja na kunipiga sidhani kama ningechomoa ile kitu kwenye tundu la Diana, Diana naye alikuwa anavikata viuno sio kitoto huku mikono yake ikishika kichwa muda mwingine akishika kifua changu.


Ndoo pamoja na vyombo vingine ziliendelea kushangilia kwa mechi ile ya majaribio katika uwanja wa Mzee steve, kitanda nacho hakikuacha salama kelele za chaga ziliendelea kulindima bahati ni kwamba majirani walikuwa wameondoka vinginevyo ningedhalilika leo.


Hatimaye mdudu akashindwa kuvumilia alimwaga Maji mazito na Utamu ukakolea zaidi niliishiwa nguvu nikakumbuka kumbe nilikuwa na njaa, Gasi imeisha na sina hela hata sijui siku yangu inaanzaje, Nilichomoa mashine kwenye tundu la Diana Na kumpa khanga ambayo nilikuwa naitumia kwenda kuogea ili afutie.


Mwanaume nikaona kwakuwa mashapata utamu ni time ya kuvaa nguo zangu niingie mtaani kutafuta ridhiki labda nitakuwa na uwezo wa kununua gesi ili niweke mazingira sawa.


"Vipi mbona unavaa nguo unataka kwenda wapi wakati bado nataka.......!..




Mwanaune nilijiongeza nikatafakari jikapata jibu la fasta


"Sinunajua sijakula so msosi lazima ningekuwa bimekula hapa ungefurahia mwenyewe" Nilijiongelesha kwa sauti ya kijanja hadi moyoni nikasema Yes mbona atalewa tu


Niliangalia mtungi wa gasi nikatafakari elfu 20 ambayo inatakiwa nilipie niliona kama nimeingia kwenye kitu kigumu sana.


Niliingiza mikono mfuko kuangalia kama kuna kitu kimebakia sikuona hata dala akili ilizidi kuniruka "wapi napata pesa leo niliwaza moyoni


Nilimwangalia Diana ambaye alikuwa bado amejilaza kitandani nikamwambia.


"Diana sijakula ujue...!!


"Ni kweli Jay lakini nimependa vile ambavyo unasugua naomba uje tena"


"Hapana ngoja nipate msosi na isitoshe gasi imeisha humu ndani"


"Sawa Ila Kama hutojali twende yumbani"


Mwanaume niliwaza sana yaani niende kwao vipikuhusu mumewe kama akinifuma nitaweka wapi sura yangu.


Nilikumbuka vile ambavyo alikua anaita labda ndio angejua yuko kwangu kingetokea nini maana mke wa mtu sumu hata kama nakula kwa kuiba ila sio kwa kwenda kwao.


"Yaani nimekuwa dhaifu hivi kwa huyu bint hadi niende kwake"


Nilijiwazia moyoni lakini ushawishi ulikuwa mwingi kila nilivyojaribu kutumia mbinu ya kumkwepa ndivyo naye alikuwa anakuja na hoja za msingi.


"Unaenda kutafuta pesa ili ujaze gasi sio...!! Aliuliza


"Ndio maana naona imeisha na sina namna zaidi ya hiyo"


"Oky hakuna shida nimemsikia yule boya wangu akisema pesa ameweka mezani twende utachukua ile"


Nilikataa kwa kichwa lakini hii haikusaidia sababu Diana alihakikisha anatumia kila njia mwisho akanishika mkono nami sikupinga.


Kwakuwa nilikuwa tayari nimeshaanza kuvaa suruali nilimalizia nae pia akavaa Nguo zake safari ya kwenda kwake ikaanza.


Kwake hakukuwa mbali sana tulianza safari kwa pamoja tulivuka vyumba vingine vya majirani huku nikiangalia milangoni kama kuna mtu ambaye ananiona.


Mikono yetu ilishikana kila mmoja akimwangalia mwenzie kwa kuibia, macho yetu yalipokutana kila mmoja aliweka tabasamu kuashiria kwamba kweli tuko kwenye ngome pana ya mapenzi.


Ingawa nilikuwa namheshimu sana Muwe wa Diana sababu mara zote alikuwa ananipa madili hapa mjini lakini uzalendo ulikuwa umenishinda hasa kwa siku ambazo alikuwa ananipeleka kwao.


Nilikuwa namkuta mke wake akiwa Na khanga moja, macho yangu yalianza kumtamani na kadri ukaribu wangu na Mume wa Diana, ambaye ni Ferouz ilinifanya niwe karibu na Diana ila kwa bahati nzuri au mbaya naweza sema leo nimemgeuka Ferouz na kula sehemu ambayo yeye anakula.


"Karibu Dear ingia mbona una wasiwasi"


"Hapanaa..Hapana bhana mbona hivyo lakini" Nilijikaza kimoyoni tu lakini bado woga ulikuwa katika mwili wangu.


Akili yangu ilikuwa inasema muda wowote Ferouz atarudi.


Niliingia hadi ndani kwa ukubwa wa chumba chao kilifanikiwa kila kitu kuwamo katika chumba kile hivyo hata choo kilikuwepo.


Siku ya kwanza naingia nilikuwa nageuza macho naangalia ukubwa wa chumba lakini hii leo nimezoea macho yangu yalikuwa yanamuangalia Diana ambaye alikuwa anachagua khanga kwenye kabati la nguo.


"Naomba uchukue hii khanga twende chooni tukaoge kisha ratiba zingine zifuate...." Diana aliniambia nami bila kupinga nilipokea Khanga nikavua suruali na t sheti yangu...

ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog