Search This Blog

MSAGAJI

 



MSAGAJI 
By GIFT KIPAPA

Mashine ya kijiji ilikuwa inapiga kelele ikisaga mahindi na kukoboa mpunga, wanawake kibao walikuwa wamepanga foleni viroba vyao tokea mlangoni hadi kwenye mashine hiyo, zilikuwa foleni mbili moja upande wa kukoboa na nyingine upande wa kusaga, lakini mtu anayeziendesha mashine hizo alikuwa mmoja, alihangaika kila wakati kuhama hama pande zote mbili, jasho zilimtoka na mavumbi ya unga yalikuwa yametapakaa mwili kwake kote , kichwani alikuwa amejifunga kiremba kilichokuwa kinatikisika tikisika kila alipokuwa anakihangisha kichwa chake kugeuka huku na kule.
Nje kwenye karo kulikuwa na wanawake wengine waliokuwa wanayalowesha mahindi yao ili kuyafanya yalainike wakati wa kukobolewa yakoboleke kwa urahisi.
Pembeni Bara bara ya mtaa ilipita magari, boda boda pamoja na mikokoteni iliyobeba mizigo ilikuwa ikipita kwa kupishana muda wote utafikiri Barabara kuu.
Vumbi lilikuwa likitimuliwa hovyo kwenye bara bara hiyo , na magari muda wote yalikuwa hayakauki , ni kwa sababu madereva wengi walikwepa foleni isiyoisha kule barabarani.
“Mmh jamani leo andulile mbona yuko peke yake, msagaji kaenda wapi tena?”
Aliuliza mmoja kati ya wanawake hao waliokuwa wanalowesha mahindi yao hapo kwenye karo.
Wenzake badala ya kumjibu walicheka huku wakiungalia mlango wa chumba cha pembeni ya mashine hiyo uliokuwa na pazia lenye maua maua ya kumeremeta kwa rangi Fulani kama silva hivi.
“Wacha weeee, msagaji mbona sasa atakuwa nuksi kila siku.”
Aliongea msichana huyo kwa mshangao na kisha alicheka pamoja na wanawake wenzake kwa kugongesha mikono yao kishambenga.
Mashine muda wote zilikuwa zikiunguruma na andulile muda wote alikuwa akihangaika kuziendesha mashine hizo, kwa kweli unaweza kumuonea huruma.
“Nakwambia watu wanapishan tu, akitoka huyu anaingia huyu, hapana jamani kama ni uchu wa kuma huo sasa umezidi.”
Aliongea msichana mwingine, na mwingine tena alichangia neno la kumgandamiza msagaji.
Yule msichana aliyeanzisha maada hiyo alikuwa anauangalia mlango wa chumba cha msagaji kwa macho Fulani hivi yenye udadisi , ulimi wake ulionekana ukicheza cheza hivi kuziramba lipsi za midomo yake , hakuwa shirikisha wenzake kitu alichokuwa anakifikiria kwa wakati huo . lakini kwa kumuangalia tu jinsi alivyokuwa anakihangaisha kichwa chake na kujipapasa papasa hivi mwilini kwa kweli lazima useme alikuwa na lake jambo, mkono wake mmoja ulishika titi lake la kushoto na kuliminya hivi kiaina huku akikinyanyua kichwa chake kwa hisia.
“Rose!! Unafanya nini mama!?”
Aliuliza mmoja kati ya wasichana hao mara baada ya kumshtukia.
“Eeeh na wewe hebu nipishege huko na ushankupe wako, mimi naenda kupiga chabo, nataka kuona hicho kinachowafanya watu wajipange foleni.”
Aliongea rose kwa kujiamini na kuanza kupiga hatua kusogelea chumba cha msagaji.
“Rose!! Rose, unafanya nini!!, tabia mbaya hiyo.”
Aliongea msichana mwingine, lakini rose wala hata hakutaka kumsikiliza yoyote kati yao, aliendelea kutembea, khanga yake iliyokuwa kuwa ameyabana matako na kuyafanya yatikisike tikisike kila alipokuwa napiga hatua.
Wenzake wote nyuma nyuma waliamua kumfuata, mahindi yao waliyaacha pale pale karoni.
Rose alifunua pazia la mlangoni na kuanza kutafuta tundu la kuchungulia aliposogeza kichwa chake jirani alisikia kilio cha kimahaba toka ka mwanamke aliyekuwa ndani ya chumba hicho, kilikuwa kilio cha aina yake , unaweza sema anatetemeshwa hivi kwa kupigwqa shoti ya umeme, rafiki zake rose nao walipofika mlangoni hapo na kuisikia sauti hiyo walijikuta wanagombaniana kutafuta tundu la kuchungulia , huyu aliinama chini mwingine alichungulia kwa juu, lakini kwa bahati mbaya mlango huo ulikuwa ni mlango wa kufungwa kwa komeo na kufuli , kulikuwa hakuna hata kitasa useme labda watachungulia kwenye tundu la funguo, walijikuta wanaishiwa nguvu huku sauti ya kilio cha Yule mwanamke aliyeko ndani ya chumba hicho ikizidi kuwa tia nyege ile mbaya, kila mmoja alikuwa anaijua radha ya mboo vizuri , kilio cha aina hiyo akikisikia kwa mwanamke mwenzake alijua kweli mtoto wa kike anakunwa na mboo kisawa sawa, achana na vile vilio feki vya kumsindikiza mwanaume ili apige bao haraka na mwisho wa siku akuhonge hela ya kueleweka.
“Dirishani jamani, twende tukajaribu kuchungulia dirishani.”
Aliongea mmoja kati ya wasichana hao Yule aliyekuwa anajaribu kumzuia rose .
“mh sada ulivyokuwa unajifanya sijui rose nyoko nyoko .”
Aliongea rose njiani wakati wote wanazunguka ukuta wa nyumba hiyo.
“acha na hayo maneno shosti, twende tukajionee mambo huko.”
Alijibu sada.

0 comments:

Post a Comment

Blog