Search This Blog

ZAMU ZAMU (WOTE TUNATAKA UTAMU)

 



ZAMU ZAMU
(Wote tunataka utamu.)
BY GIFT KIPAPA

Simu za watu zilikuwa zimejaa kwenye meza ya Fundi Side, mkono wake muda wote ulikuwa unashughulika. mara hii abadirishe kioo, na nyingine aweke mother body mpya na zingine zilizokufa kabisa aliishia kuzifunga na kuziweka ndani ya boksi la vimeo, meza yake ilikuwa imepakana na meza zingine za watengeneza simu kibao, ambao nao pia walikuwa bize mbaya, kuna waliokuwa wakiongea na wateja wao wakiwaeleza matatizo ya simu zao na wengine zilikuwa kelele wateja wakilalamika simu zao zimecheleweshwa.
Pembeni ya vibanda hivyo kulikuwa na maduka maghorofa ambayo filamu zote za chini zilikuwa ni maduka ya simu.
Humo watu walikuwa wanafurika kinoma kununua simu mpya, madalali nao ndio walikuwa wakiwasonga hatari, wakiongea wakisifu ubora wa simu zinazouzwa kwenye duka Fulani ambalo yeye ndio anapiga PA.
Ilikuwa hivyo siku nzima, vurugu za vibaka, matapeli vyote vilikuwa hapo hivyo ndivyo kariakoo inavyokuwa kila siku.
Gari moja la kifahari lilifunga breki pembeni kidogo na bara bara ilikuwa jirani kabisa na meza ya side.
Kwa jinsi side alivyokuwa bize wala hata hakunyanyua macho yake kuangalia gari hilo.
Na harafu kioo cha gari chenye tinted kilifunguliwa.
Sura ya msichana mrembo ilionekena, alifungua mlango wa gari hilo ili kushuka. Mguu wake wa kushoto ulitangulia na kukanyaga kipande cha bara bara hiyo kilichokuwa kimepasuka pasuka, ncha ya viatu vyake vya skonkoko ilijichomeka kati kati ya mstari uliyogawanya kipande hicho cha rami na harafu mguu wake wa pili ulishuka.
Alipokuwa amegeuka kufunga mlango wa gari hilo tako lake lililokuwa zinga la gwede gwede ndani ya kisketi cha kubana kilichokuwa kimeshikana na tako hilo kisawa sawa lilitikisika tikisika hivi kiaina.
Mkononi alikuwa ameshika simu ya kisasa, lakini ilikuwa na dosari ya kioo chake kupasuka pasuka.
“habari yako kaka.”
Aliongea mrembo huyo akiwa ametabasamu mara baada ya kufika kwenye meza ya side.
“nzuri tu dada karibu.”
Side aliitikia huku bado akiwa ameinama kuhangaika na simu aliyokuwa anaitengeneza.
“ahasante , naweza pata huduma ya kubadili kioo?”
Aliongea huku akumuonyeshea side simu yake muda huu ndio side aliacha kuhangaika na simu aliyokuwa anaitengeneza na kisha kuinua macho yake ili kuiangalia simu hiyo, macho yao yaligongana, side aliona tabasamu la mrembo huyo jinsi lilivyonoga.
“Bila shaka mrembo.”
Aliiitukia side huku akiipokea simu hiyo, lakini macho yake yalikuwa yameganda kwenye matiti ya mrembo huyo yaliyokuwa yamejaa jaa kinoma.
Kitopu chake kilikuwa kimeyabana hivi na kuyasimamisha hivi chuchu za matiti hayo zilionekana kwa mbele, huku kati kati pakiwa wazi, kidani chake cha dhahabu kilichokuwa kinang’ara kati kati ya matiti hayo ndio kilikuwa kisingizio cha side kugandisha macho yake kwa muda mrefu kwenye matiti hayo.
Nimependa kidani chako.”
Aliongea side huku akiiangalia simu hiyo kwa umakini.
“ahsante.”
Aliongea msichana huyo kwa sauti laini.
“itakuwa laki na nusu kioo pamoja na huduma.”
Aliongea side.
“haii wewe mbona bei hivyo?”
Alilalamika mrembo huyo.
“kioo chake kinauzwa bei sana, yani hapo nimekupunguzia sababu ni wewe.”
Aliongea side.
“mmh acha uongo, sababu ni mimi kitu gani, kwani unanijua? Wanaume wa kariakoo mbona mna mambo.”
Aliongea msichana huyo kwa sauti yake laini huku akimuangalia side kwa jicho la kurembua.
“sio mpaka nikujue mrembo, kwani wewe ujajiona? tabasamu lako tu linatosha kupunguziwa bei.”
Aliongea side kwa mzaha, na kumfanya mrembo huyo acheke kwa kicheko laini.
“mmh sawa ntakulipa hiyo pesa, lakini nina ombi jingine.”
Aliongea mrembo huyo.
“chochote unachotaka mrembo nipo hapa kwa aajili yako.”
Aliongea side huku akiyaangalia mahipsi yake jinsi alivyokuwa amefungashia.
“nataka uniletee nyumbani.”
Aliongea mrembo huyo huku akimkonyeza side kiaina.
“nyumbani?”
Aliuliza side huku akishangaa.
“Ndio, nitakupa na hela ya taxi, mi siwezi tena kuja huku leo kuna tamthilia naifuatilia sitaki inipite.”
Aliongea mrembo huyo.
“hakuna shida mrembo, kama nilivyo kwambia, nipo hapa kwa ajili yako.”
Side alimjibu huku bado macho yake yakiendelea kumthaminisha.
“kweli? Ama nitaringa mwaka huu.”
Aliongea mrembo huyo kwa kujidai.
“we ringa tu mama, kama unavyolingaga.”
Alisisitiza side.
Waliongea mengi kwa muda huo mchache na hatimaye wakatambulishana majina, na mrembo huyo akajitambulisha kwa jina la Enea.
Mara baada ya kumlipa pesa yote na kumpa anuani ya nyumbani kwao .
Enea aliondoka zake.
Side alizubaa kwa dakika kadhaa tangu alipokuwa akimuangalia Enea vile matako yake yalivyokuwa yanatikisika alipokuwa anaingia kwenye mkoko.
Alikuwa amesepa na katika bara bara hiyo watu wengine kibao walikuwa wakipita lakini macho ya side bado yalikuwa ayakiiona picha ya Enea pale.
Mtoto sio siri alikuwa na tako la kutia nyege kinoma.
Side muda wote huo alikuwa akivutia picha jinsi ambavyo ingekuwa kama mrembo huyo angeruhusu mikono yake iliguse tako hilo walau hata kiduchu.
Uboo wake tayari ulikuwa umedinda kinyama na mdomo wake ulikuwa umejaa macho ya uchu ile mbaya. Alijikuta analaani kinyama mazingira ya ofisini kwake jinsi yalivyokuwa wazi wazi, kama angekuwa hata kwenye kijichumba Fulani, walai siku hiyo angefunga ofisi na kumshughulikia mrembo huyo angalau kiaina.
Vile alivyokuwa amelegea wakati wanaongea kwa kweli alikuwa ana uhakika angethubutu kumvuta mtoto wala hata asingekataa.

0 comments:

Post a Comment

Blog